Spiritual Healing

Kuomba Mwongozo kwa Allah(Istikhaarah)

 

Kabla ya kufanya kazi yoyote, kufanya Istikhaarah ni Desturi ya Mtume(Sunnah). Istikhaarah kwa hakika ni kuomba ushauri kutoka kwa Allah the Almighty.

Soma mara ishirini na moja (21):

اِفْتَحْ اِفْتَحْ یَا بَدِیْعُ الْعَجَائِبِ بِالْخَیْرِ یَا بَدِیْعُ

Iftah Iftah Ya Badee'ul-Ajaa'ibi Bil-Khayri Ya Badee'u

Mwanzoni na mwishoni soma mara moja:

                 صَلَّ اللّٰہُ تَعَالٰی عَلٰی حَبِیبِہٖ مُحَمَّدٍ وَّسَلَّم     

Sallallahu Ta'aalaa 'Alaa Habeebihi Muhammadin Wa Sallam

Baada ya hapo, lala kwa ubavu wa kulia huku ukiweka kiganja cha mkono wa kulia chini ya uso wako.

Wakati wa kulala, rudia katika akili yako jambo unalotaka kujua.

Ndani ya siku tatu (3), katika ndoto au hali ya kuamka, jambo ulilotaka kujua litafunuliwa.

Topics