Topics

Udhaifu wa Macho

 

Soma kabla ya kuchomoza kwa jua mara tatu (3):

مُعِينُ السَّلَامْ مِائَةُ الْحِينْ اَلصَّابِ الْغِلَامُ الْمَرِي

Mu'eenus-Salaam Mi'atul-Heen As-Saabil Ghilaamul-Mari

Kisha pulizia ndani ya bakuli kubwa la maji.

Tenga mafundo matatu ya maji hayo na uyanywe asubuhi kabla ya kula chochote. Maji yaliyobaki yawekwe katika kiganja cha mkono wa kulia na ufumbue na kufumba macho ndani ya maji hayo.

Maji yanapopata joto yamwagwe katika chungu cha maua au bustani. Kisha chukua maji mengine mkononi na kwa namna hiyo safisha kwanza jicho la kushoto na baadaye la kulia.

Matendo ya Kiroho hii ifanywe kwa siku tisini (90). Kwa fadhila za Allah the Almighty, udhaifu wa macho huondoka.

Topics