Topics
Maumivu ya mwili yanamaanisha kuvunjika mwili, uchovu, uvivu na maumivu ya viungo.
Soma tendo iliyotolewa katika kitabu mara arobaini na
moja (41) kabla ya kulala, kisha pulizia ndani ya nusu kikombe cha maji ya
uvuguvugu na uyanywe.
Baada ya hapo lala bila kuzungumza.
Kwa kawaida siku tatu zinatosha, lakini kama ugonjwa
ni wa muda mrefu, tendo ifanywe kwa siku kumi na moja (11).