Topics
Kwa magonjwa yote ya mfuko wa uzazi, ikiwemo uvimbe au
kinyama (tumor), vaa hirizi iliyotolewa katika kitabu shingoni.
Ikiwa ugonjwa ni mkali, osha hirizi moja kila asubuhi
kabla ya kula chochote kwa muda wa siku arobaini (40) na unywe maji hayo.