Topics

Hitilafu ya Mizani ya Akili

 

Ikiwa kutokana na msongo wa mawazo wa muda mrefu, matatizo magumu au ugonjwa wa kisukari, mizani ya akili imeharibika, basi sababu yoyote ile iwepo, matibabu ni haya:

Kila unapokunywa maji, soma juu ya funda moja:

بِسْمِ اللّٰهِ الرَّحْمٰنِ الرَّحِيمِ
Bismillahir-Rahmaanir-Raheem

kisha pulizia na unywe.                           

Au wakati wa kunywa funda la kwanza la maji, soma kimoyomoyo Bismillah .

Ikiwa mgonjwa hawezi kufanya Matendo ya Kiroho hii mwenyewe, basi andika:

بِسْمِ اللّٰهِ الرَّحْمٰنِ الرَّحِيمِ
Bismillahir-Rahmaanir-Raheem

kwa zafarani na Maji ya waridi kwenye sahani moja, ioshe kwa maji na umnyweshe mgonjwa asubuhi kabla ya kula chochote.

Topics