Topics
Soma baada ya Swalah ya Isha mara mia moja na moja (101):
تَبَّتْ يَدَا أَبِي لَهَبٍ وَتَبَّ ﴿١﴾ مَا أَغْنَىٰ
عَنْهُ مَالُهُ وَمَا كَسَبَ ﴿٢﴾ سَيَصْلَىٰ نَارًا ذَاتَ لَهَبٍ ﴿٣﴾
وَامْرَأَتُهُ حَمَّالَةَ الْحَطَبِ ﴿٤﴾ فِي جِيدِهَا حَبْلٌ مِّن مَّسَدٍ ﴿٥﴾
Tabbat Yadaa Abee Lahabin Wa Tabb. Maa Aghnaa 'Anhu
Maaluhu Wa Maa Kasab. Sayaslaa Naaran Dhaata Lahab. Wamra'atuhu
Hammaalatal-Hatab. Fee Jeedihaa Hablum-Mim Masad.
Pulizia juu ya maji.
Katika muda wa saa ishirini na nne (24), maji hayo
pekee ndiyo yatumiwe kwa kunywa.
Baada ya saa ishirini na nne, maji yakibaki, yamwagwe
kwenye bustani au chini ya mti, kisha yaandaliwe maji mapya.
Muda wa tiba ni siku ishirini na moja (21).
Katika kipindi hiki, maji mengine yasinywewe.