Topics
Ikiwa katika kazi mtu amehamishwa kutoka sehemu moja
kwenda nyingine au kutoka mji mmoja kwenda mwingine, na anataka uhamisho huo
usitishwe, basi baada ya Swalah ya Isha asome mara kumi na tisa (19), kwa muda
wa siku kumi na tisa (19), Surah yote ya:
تَبَّتْ يَدَا أَبِي لَهَبٍ وَتَبَّ
Tabbat Yadaa Abee Lahabin Wa Tabb
Kisha aombe dua.