Topics

Kukojoa Kitandani

 

Wakati mwingine watoto huendelea kukojoa kitandani hata baada ya kufikia umri mkubwa.

Mtoto anapolala usingizi mzito, kaa karibu na kichwa chake na usome kwa sauti isiyovuruga usingizi wake aya za mwanzo za Surah Al-Baqarah mpaka:

يُؤْمِنُونَ بِالْغَيْبِ

Yu'minoona Bil-Ghayb

kwa muda wa siku ishirini na moja (21).

Topics