Topics
Mwili ukipata mitikisiko au kiungo chochote kikakamaa,
iwe sababu ni shinikizo la damu au upungufu wa damu, andika mchoro iliyotolewa
katika kitabu kwenye sahani kwa kutumia rangi ya manjano ya chakula.
Mgonjwa anywe maji ya sahani moja asubuhi na sahani
moja jioni baada ya kuoshwa kwa maji.
Endelea na matibabu haya kwa muda wa siku kumi na moja
(11).