Topics

Kuganda kwa Viungo vya Mwili

Changanya rangi ya manjano ya chakula ndani ya maji na utengeneze wino. Kwa wino huo andika hirizi(ta’wiz) iliyotolewa katika kitabu kwenye sahani, kisha ioshe kwa maji na umnyweshe mgonjwa asubuhi, alasiri na usiku.

Hirizi(ta’wiz) hiyo hiyo iandikwe kwenye karatasi laini na nene kiasi cha urefu wa mkono mmoja, kisha ipakwe juu ya kiungo kilichoathirika mara tatu kwa siku kwa mzunguko unaofanana na mwendo wa saa.

Katika chakula, epuka vitu vya baridi, vinavyosababisha gesi na chumvi.

Topics