Topics
Baada ya kujisaidia na wakati wa kujitwaharisha,
safisha kwa namna ambayo kidole kikubwa cha mkono wa kushoto kiguse sehemu ya
bawasiri. Wakati huo endelea kusoma:
فِعْلُنْ فِعْلُنْ فِعَلْ
Fi'lun Fi'lun Fi'al
Wakati wa kujitwaharisha soma:
مَانِيٌ قَمِيرَا
Maaniyun Qameeraa
kwa namna ile ile ilivyoelezwa kwa bawasiri isiyo na
damu.
Wakati mwingine maumivu ya bawasiri huwa makali sana
kiasi kwamba mgonjwa huhisi kama sindano zinachoma sehemu hiyo. Allah the
Almighty Awalinde wote kutokana na hali hiyo.
Kwa matibabu ya haraka, mgonjwa asome:
هُوَ اللّٰهُ الَّذِي لَا إِلٰهَ إِلَّا هُوَ
Huwa Allaahul-Ladhee Laa Ilaaha Illaa Huwa
Kisha apulizie kwenye kidole cha shahada na akiweke
ndani ya maji.
In shaa Allah maumivu yataondoka mara moja.
Soma:
قُلْ هُوَ الْمُعِينْ يَا مَعْرُوفُ الْمَنَّانْ
وَالْحَلِيمْ
Qul Huwal-Mu'een Ya Ma'rooful-Mannaan Wal-Haleem
Andika kwenye sahani na ioshe kwa maji, kisha uyanywe
mara tatu kwa siku kwa muda mrefu.
Katika ugonjwa huu ni muhimu kuepuka samaki, mayai na
mtindi.