Topics
Iwe maumivu ya figo yamesababishwa na gesi au mawe ya
figoni, andika mchoro iliyotolewa katika kitabu kwenye karatasi ya nta.
Ifunge kiunoni kwa kamba kwa namna ambayo hirizi ibaki
karibu na figo.
Pia ni vizuri kuosha mchoro hiyo kwa maji na kunywa
maji hayo.
Ikiwa kuna mawe ya figoni, kwa idhini ya Allah
yanaweza kusagika na kutoka pamoja na mkojo.