Topics
Watoto wenye afya nzuri, wachangamfu au wenye akili
nyingi mara nyingi hupatwa na jicho baya. Hata wazazi na ndugu wanaweza kuwa
sababu ya Jicho Baya bila kujua.
Mtoto akipatwa na Jicho Baya huwa na wasiwasi, huacha
kunywa maziwa, hulia, hupata homa na kudhoofika siku baada ya siku.
Kwa kuondoa Jicho Baya, baada ya kusoma Bismillah,
soma Surah yote ya:
إِنَّا
أَعْطَيْنَاكَ الْكَوْثَرَ
Innaa A'taynaakal-Kawthar
kisha mpulizie mtoto usoni. Athari ya Jicho Baya
itaondoka.