Topics
Andika:
هُوَ اللّٰهُ الْخَالِقُ
الْبَارِئُ الْمُصَوِّرُ لَهُ الْأَسْمَاءُ الْحُسْنٰى
Huwallahu Al-Khaaliqul-Baari'ul-Musawwir, Lahul-Asmaa'ul-Husnaa
kwenye
karatasi, ifunge ndani ya kitambaa cheupe na ivaliwe shingoni. Homa ikishuka, hirizi(ta’wiz)
na kitambaa vyote vichomwe.
Andika:
قُلْنَا يَا نَارُ كُونِي
بَرْدًا وَسَلَامًا عَلٰى إِبْرَاهِيمَ
Qulnaa Yaa Naaru Kooni Bardan Wa Salaaman 'Alaa Ibraaheem
kwenye mbao ya
mti wa beri au karatasi ya nta, kisha ifungwe shingoni. Homa ikiondoka, hirizi(ta’wiz)
ichomwe.