Spiritual Healing

Kupumua kwa Mbavu na Nimonia

Hirizi(ta’wiz) iliyotolewa katika kitabu iandikwe kwenye sahani ya kauri kwa kutumia zafarani na maji. Ioshwe kwa maziwa na mtoto apewe funda moja au mawili mara tatu kwa siku.

Kwa tahadhari, endelea kwa siku mbili au tatu ili athari za nimonia ziondoke kabisa.

Topics