Spiritual Healing
Wakati wa kulala usiku, soma mara moja:
الَّذِي خَلَقَ فَسَوَّىٰ وَالَّذِي قَدَّرَ فَهَدَىٰ
Alladhee Khalaqa Fa Sawwaa, Walladhee Qaddara Fa Hadaa
kisha pulizia kwenye pamba safi na uiweke ndani ya
sikio lililoathirika.
Asubuhi, tumia pamba mpya na urudie tendo hiyo.
Fanya mara mbili kila baada ya saa ishirini na nne.
Usaha ukikoma kutoka, acha tendo hii.