Spiritual Healing
Baada ya Swalah ya Isha, soma mwanzoni na mwishoni Sala na Salamu kwa
Mtume mara kumi na moja (11), kisha soma mara mia tatu (300):
اَلْمَلِکُ الْقُدُّوْسُ اَلْمَلِکُ الْقُدُّوْسُ اَلْمَلِکُ الْقُدُّوْسُ
Al-Malikul-Quddoosu, Al-Malikul-Quddoosu,
Al-Malikul-Quddoosu
Kisha omba kwa unyenyekevu kwa Allah the Almighty.
Tendo hii iendelee mpaka matokeo ya mtihani yatangazwe.