Spiritual Healing

Magonjwa ya Utumbo

Vidonda vya Utumbo

Andika kwenye sahani tatu:

بِسْمِ اللّٰهِ الرَّحْمٰنِ الرَّحِيمِ
اَلسَّلَاسِلُ فِی مَرْجَعِ الْبَحْرَيْنِ يَا اَللّٰهُ

Bismillahir-Rahmaanir-Raheem
As-Salaasilu Fee Marji'il-Bahrayni Ya Allaah

Kila siku asubuhi, jioni na usiku, ioshe sahani moja kwa maji na uyanywe kwa muda wa siku arobaini (40).

Aina ya chakula iamuliwe kwa ushauri wa daktari.

Topics